kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Hii misemo nimezoea kuisikia ikisemwa na mijimama ikiwa ni lugha ya kumtambulisha mpenzi mvulana ambaye kiumri ni mdogo.
Hii inanifanya nifikiri huenda hata hii timu inayoitwa Serengeti wameshafanywa mahodari wa ngono na kusahau jukumu lao la msingi katika timu ya taifa.
Sipendi hii tabia ya kuhusianisha kila shughuli yenye umahiri wa nguvu na akili na vitendo vya ngono.Huenda ndiyo maana,hatufanyi vizuri kabisa kwenye michezo.Maana nguvu nyingi tunaziweka kwenye mambo ya ngono ambayo hata yakiletwa mashindano hatuwezi kufanya vizuri.
Kweli watanzania!
Hii inanifanya nifikiri huenda hata hii timu inayoitwa Serengeti wameshafanywa mahodari wa ngono na kusahau jukumu lao la msingi katika timu ya taifa.
Sipendi hii tabia ya kuhusianisha kila shughuli yenye umahiri wa nguvu na akili na vitendo vya ngono.Huenda ndiyo maana,hatufanyi vizuri kabisa kwenye michezo.Maana nguvu nyingi tunaziweka kwenye mambo ya ngono ambayo hata yakiletwa mashindano hatuwezi kufanya vizuri.
Kweli watanzania!