Kwa hiyo unamuulizia mtu ambae amepitia maisha ya upofu na ukiziwi au mtu anae tarajia hali hiyo?
JIFANYE KUWA MTU MZIMA KAMA UMRI HUO BADO HUJAFIKIA
KWA KUWA UNAHALI AMBAYO MAJIBU YA SWALI LAKO HUWEZI KUYAPATA BASI KUJITOBOA WEWE MWENYEWE HAITOSHI
Na hata ukitobolewa huwezi kupata majibu sahihi kwa sababu tayari umepitia maisha ya uzima
SIMULIA SANA, CHEKA SANA LAKINI OMBA YASIKUKUTE