kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Awamu hii ya uongozi wa taifa hakika itatuletea maendeleo kama taifa. Kale kamsemo ka kiswahili ka kulinda uzembe na ufisadi eti 'kosa la kwanza sio kosa' kameenda likizo au katakua kamekufa.
Kamsemo kanatumikaga vibaya na sisi waswahili eti kila mwizi na fisadi mtumishi wa umma aibe mara moja. Kila mtumishi wa umma wala haibi au kufanya kosa mara moja ila kila akikamatwa utasikia 'asamehewe jamani kosa la kwanza sio kosa'..pambaaf kwelikweli. 😂😂
Heko awamu ya tano wakikukamata mwizi au fisadi wanakulipua hapohapo.
Kufanya kazi ya kuleta maendeleo kwa nchi sio lelemama inahitajika nidhamu na maarifa ya hali ya juu.
Kamsemo kanatumikaga vibaya na sisi waswahili eti kila mwizi na fisadi mtumishi wa umma aibe mara moja. Kila mtumishi wa umma wala haibi au kufanya kosa mara moja ila kila akikamatwa utasikia 'asamehewe jamani kosa la kwanza sio kosa'..pambaaf kwelikweli. 😂😂
Heko awamu ya tano wakikukamata mwizi au fisadi wanakulipua hapohapo.
Kufanya kazi ya kuleta maendeleo kwa nchi sio lelemama inahitajika nidhamu na maarifa ya hali ya juu.