Elections 2010 Eti Kumbe ni Mbowe Ndiye Aliyetisha Kumwaga Damu Chadema Isipochaguliwa!

Nani kasema Habari Leo ni gazeti? Hicho ni kipeperushi cha Chama Cha Majini AKA CCM.Achana nacho , wanasoma wale mandondocha wa JK

Bwana Douglass Sallu,

Maneno yako siyo sahihi. Hata kama unaichukia CCM siyo vizuri kusema maneno hayo.
 

Kwa nini HAKUKAMATWA?
Mtu anayetishia Usalama wa TAIFA SI ANATAKIWA KUKAMATWA NA KUSHITAKIWA?
 
Huyo mwandishi alitaka kuuza gazeti tu, ila hakuna ukweli wowote. Ni kuichafulia hadhi CHADEMA tu, kwani wameona wao ndio mwiba ktk uchaguzi huu so matumbo yao lazima yawe joto na kuanza kuzusha mambo kwa kutumia media kama ilivyotokea kwa mwandishi huyo.
 
Nikienda TRA nikadai kiasi fulani cha kodi zangu kule nitakuwa nimekosea!?

Haya ni maajabu!!!! Utaendaje TRA kudai kodi zako? wewe utakuwa ni mtu wa kwanza duniani. Tatizo la Wana-Chadema wala hamjui taratibu za nchi zinaendeshwaje.
 
Harooo Wakuu Tafajali.....Mkishashindwa kwenye uchaguzi....nendeni pale chini ya mwembe
chinjeni mbuzi,mle nyama yake,vimiminika kwa pembeni....Halafu damu yake,msiinywe,bali imwageni,ili mtimize adhima yenu ya kumwaga damu ! kuna ubaya gani mkishangilia...hakuna kulia......Halafu siku inayofuata kafanyeni kazi kwa bidii,Tanzania ni watu Bwana.
Tupunguze hasira wazeeeee.
 

Habari Leo ni Tafsiri ya Daily news na wamiliki wao ni TSN, Kampuni ya Serikali. Sasa kama hukushtuliwa na tahariri ya Daily News kuhusu Dk Slaa, huna sababu ya kushtuka kuhusu gazeti dada la Habari Leo. Baada ya Maoni ya Mhariri wa Daily News kuhusu Dk Slaa umeshasikia Serikali imemwondoa Mhariri wake. Magazeti ya Serikali D/ News na H/ Leo yana mission maalumu ambayo kwa bahati mbaya ni uchochezi na damu za Watanzania zikimwagika kwa ajili ta upuuzi wao basi ICC inawangoja kule Holland.
 
Zimebaki siku chache, walishasahau ethics za uandishi wa habari. The day is coming very soon.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…