Eti kuna ngo's inaitwa high learning students support fund( hlssf )?

chipande

Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
12
Reaction score
2
kama kuna mtu yeyote ameshawahi omba mkopo na akapata naomba nijue, coz hapa mjin wajanja wengi mdogo wangu aliomba mkopo mwaka jana serikalini hakupata now anataka a jaribu ktk h NGOS hyo niliyoitaja hapo juu. kaniuliza nimeshindwa kumpatia jibu,nikasema ngoja niwaulize wasomi wa JF. kwamba hi ni ya ukwel au magumashi iko k/koo. NASUBIRI JIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…