Malengo ni kusajili Wabrazil waje kucheza na Namungo, Ndanda na Biashara ya Mara. Lengo limefanikiwa Sana.Kashindwa amebaki anaweweseka tu. Haelewi afanye nini tena. Amebaki kuwalaumu wachezaji eti hawana malengo. Mda unaenda siku zinapita na ameshindwa kabsa kuitengeneza timu. Leo Yanga wanamtihani mzito mbele ya waarabu,bila lamli wala unabii au upajo wa maji na mafuta Yanga wanakaa mapemaaaa! Ndo ukwelii
Hakuna mwanamichezo mwenye akili timamu wa kumlaumu Zahera, Uwezo wa Zahera ulijidhihirisha msimu uliopita kwasasa wanaotakiwa kudhihirisha ubora wao ni wachezaji binafsi. Zahera hawezi kuingia uwanjani akacheza mpira, Mchezaji ameajirwa kucheza alafu katikati ya msimu unaongezeka uzito, mchezaji anafundishwa kufunga!! Yaani unasajiliwa alafu ufundishwe kufunga!! Kuwa fit na kiwango bora, kuchezavizuri ni kazi ya mchezaji mwenyewe kocha ni mambo ya ufundi tu. Zahera hana lawama.Kashindwa amebaki anaweweseka tu. Haelewi afanye nini tena. Amebaki kuwalaumu wachezaji eti hawana malengo. Mda unaenda siku zinapita na ameshindwa kabsa kuitengeneza timu. Leo Yanga wanamtihani mzito mbele ya waarabu,bila lamli wala unabii au upajo wa maji na mafuta Yanga wanakaa mapemaaaa! Ndo ukwelii
Kashindwa amebaki anaweweseka tu. Haelewi afanye nini tena. Amebaki kuwalaumu wachezaji eti hawana malengo.
Muda unaenda siku zinapita na ameshindwa kabisa kuitengeneza timu. Leo Yanga wanamtihani mzito mbele ya waarabu, bila lamli wala unabii au upajo wa maji na mafuta Yanga wanakaa mapemaaaa!
Ndo ukwelii
Sawa UD songo.Tumekusikia Na wabrazil poriHii Yanga yetu haiendi kokote! Bora hata tungepangiwa Bandari au Gor Mahia! Ila siyo hii Pyramid. Tujipange tu kwa ajili ya ligi kuu.
Simba yenye malengo imetolewa raundi ya awali na vibonde UD SONGO, sasa hivi wamebaki kucheza ligi ya mchangani na akina Singida United
Kashindwa amebaki anaweweseka tu. Haelewi afanye nini tena. Amebaki kuwalaumu wachezaji eti hawana malengo.
Muda unaenda siku zinapita na ameshindwa kabisa kuitengeneza timu. Leo Yanga wanamtihani mzito mbele ya waarabu, bila lamli wala unabii au upajo wa maji na mafuta Yanga wanakaa mapemaaaa!
Ndo ukwelii