Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wewe Dumelambegu hujui thread yako inafichua siri zetu wanaume humu jamvini? Wengine tulitumia gia hiyo na kupata tulichotaka kwa raha zetu. Sasa vimwana wakigundua haka ka-trick ketu wataanza kutupiga chenga tena. Mambo mengine muwe mnayameza tu.
Mkwe yana ukweli ndani yake lakini mimi hiyo haikuwa gia yangu mkwe l.o.lManeno hayo yana ukweli ndani yake
Hahaha mama yahya unaongea kama vile yaliishawahi kukuta l.o.l halafu gia ziko nyingi sio hiyo tuAakh,wapi.ukija kwangu na gia hiyo nakuona mjinga,halafu nakuona mshamba,hujiamini.yaan nakudharau nakuona km sharobalo wa shamba,fresh from the village.mwanamke mjaja hanasi kwnye mitego ya kijinga,labda aamue yeye tu kukupa mchezo ili nawe uingie kwenye chati za kumiliki warembo.kwanza huko mbelen tunaweza tukaanza kuwaoa ninyi,sijui mtakuja na gia gani
hebu zitaje hizo njia nyingi tuzichambue hapa .mie hayawezi kunikuta hayo bana,Firstlady ni mjanjaHahaha mama yahya unaongea kama vile yaliishawahi kukuta l.o.l halafu gia ziko nyingi sio hiyo tu
Unajua mimi nataka kukuoa halafu nikwambie tekniki zanguhebu zitaje hizo njia nyingi tuzichambue hapa .mie hayawezi kunikuta hayo bana,Firstlady ni mjanja
Unajua mimi nataka kukuoa halafu nikwambie tekniki zangu
unajua mimi nataka kukuoa halafu nikwambie tekniki zangu
hebu zitaje hizo njia nyingi tuzichambue hapa .mie hayawezi kunikuta hayo bana,Firstlady ni mjanja