Eti kwa nini Sisi Yanga tunajaa kwenye mechi za Simba ! hili swali limenikwaza sana.

Yanga mtuvumilie sisi Mikia Mbumbumbu tumekuwa na tabia za umbea na majungu kama msemaji wetu Hadja Manara.
 


Nina wasiwasi na takwimu zako. Lbda kama hawa unaodai ni wale waliojificha. Yanga na Simba ni karibu sawasawa kwa idadi angalau kwa vyanzo vingi vya habair na utafiti wangu binafsi. Kuna baadhi ya sehemu unakuta timu moja ina wafuasi wengi kuliko nyingine lkn tofauti haiwezi kuwa 10 kwa 6. Ni almost equal
 
Hahahaha jf sihami ng'o!!
 
Wouzeeerrr hakuna kama chama [emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…