ASCUDA T
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 120
- 33
Nauliza Kwa Kuwa Mh Shule Zenyewe Hazina Walimu Wa Kutosha, Madawati Hayatoshi, Hakuna Maabara Wala Maktaba, Walimu Wanalipwa Ujira Mdogo Na Hakuna Nyumba Za Walimu. Mi Kwanza Nafikiri Mafisadi Wa Ccm Watoto Hawasomi Huko Eee Ndiyo Wanasoma Saint Na Wengine Wapo Nje Ndo Maana Wanazizarau Za Kata. Ki Ukweli Utawala Wa Ccm Ni Mabingwa Wa Ubaguzi Na Matabaka. Eti Wamesahau Kura Huwa Tunawapa Sisi. Cccm Wana Ubaguzi Na Matabaka Lakini Acha Tu. Watanzania Tuamke Jamani Sisi Tutakuwa Vibaraka Wa Ccm Mpaka Lini. Tufikiri Sana Tunapotaka Kupiga Kura Na Umakini Mkubwa Unahitajika. How Dare U Ccm?