Eti liverpool ndio bingwa wa EPL 2019/20? (msijidanganye)

sawa mkuu, nashukuru kwa kunitukana..

mimi ni chizi,.. ila siku nyingine boresha afya ya ubongo wako ndio uandike huo utumbo wako. hivi bila matusi huwa hamjisikii raha eti..

halafu kibaya zaidi ni maoni yangu hayo, kama unaona ni ya hovyo si utoe yako..
 
Mzee hata ubongo wako ungekuwa na afya usingeandika huo utumbo, Kwahiyo kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho langu toa kwako kwanza
 

Utakuwa umemeza dawa za kuzuia mimba zinakuletea side effects kwenye ubongo.

Wakusamehe tu kwa kuwaza ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…