Eti Marekani wanachapisha dollar market value ya baadhi ya makampuni ya Kimarekani

Eti Marekani wanachapisha dollar market value ya baadhi ya makampuni ya Kimarekani

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
1000071207.jpg

Narudia tena na tena mchina, Russia bado
 
Ila Baadhi ya watanzania tunapenda ushabiki wa kijinga ama kitoto.
Mtu mzima unawezaje kuandika makala ya namna hii.
Hivi nani aliekuambia china na Urusi kazi Yao ni kushindana na USA?
Ama nani aliekuambia USA kazi yake ni kushindana na akina Urusi na china?
Kimsingi Kila nchi kati ya hizo na hata nchi nyingine zipo kujitafutia maendeleo yake,isipokua inatokea nchi moja inakua na uchuni mkubwa kuwazidi wenzake lakini sio kimashindano.
Cha ajabu utakuta nchi hizo ambazo wewe unaziona zinashindana utakuta zinafanya biashara ama zinashirikiana katika sekta Fulani.
Wajibu wa nchi yoyote hapa duniani ni kuwapatia maendeleo wananchi wake.
Hebu punguzeni ushabiki Kila sehemu.
China ana haki ya kujitafutia maendeleo,Hali kadharika Urusi na hata Marekani bila kuangalia nani anafanya Nini.
 
Ila Baadhi ya watanzania tunapenda ushabiki wa kijinga ama kitoto.
Mtu mzima unawezaje kuandika makala ya namna hii.
Hivi nani aliekuambia china na Urusi kazi Yao ni kushindana na USA?
Ama nani aliekuambia USA kazi yake ni kushindana na akina Urusi na china?
Kimsingi Kila nchi kati ya hizo na hata nchi nyingine zipo kujitafutia maendeleo yake,isipokua inatokea nchi moja inakua na uchuni mkubwa kuwazidi wenzake lakini sio kimashindano.
Cha ajabu utakuta nchi hizo ambazo wewe unaziona zinashindana utakuta zinafanya biashara ama zinashirikiana katika sekta Fulani.
Wajibu wa nchi yoyote hapa duniani ni kuwapatia maendeleo wananchi wake.
Hebu punguzeni ushabiki Kila sehemu.
China ana haki ya kujitafutia maendeleo,Hali kadharika Urusi na hata Marekani bila kuangalia nani anafanya Nini.
Umesema vyema
 
Ila Baadhi ya watanzania tunapenda ushabiki wa kijinga ama kitoto.
Mtu mzima unawezaje kuandika makala ya namna hii.
Hivi nani aliekuambia china na Urusi kazi Yao ni kushindana na USA?
Ama nani aliekuambia USA kazi yake ni kushindana na akina Urusi na china?
Kimsingi Kila nchi kati ya hizo na hata nchi nyingine zipo kujitafutia maendeleo yake,isipokua inatokea nchi moja inakua na uchuni mkubwa kuwazidi wenzake lakini sio kimashindano.
Cha ajabu utakuta nchi hizo ambazo wewe unaziona zinashindana utakuta zinafanya biashara ama zinashirikiana katika sekta Fulani.
Wajibu wa nchi yoyote hapa duniani ni kuwapatia maendeleo wananchi wake.
Hebu punguzeni ushabiki Kila sehemu.
China ana haki ya kujitafutia maendeleo,Hali kadharika Urusi na hata Marekani bila kuangalia nani anafanya Nini.
Kinyooonge sana kweli ni ngumu kubishana na namba
 
Uchumi wa Dunia bado uko mikononi mwa Marekani.

Tutarajie mabadiliko kidogo labda kuanzia 2050 huko. Ila kwa sasa na kwa miaka kadhaa ijayo Marekani ndio bado anamiliki uchumi.
WB na IMF walishatoa takwimu kuwa uchumi ushahamia kwa China.
Katika mali viwanda China anachangia 40% ya bidhaa zote duniani.
The most industrialized nation ni China.
Nchi pekee duniani iliyokopesha sawa na WB/IMF ni China.

Aya uchumi upi wa dunia uliopo USA!!??
 
Kinyooonge sana kweli ni ngumu kubishana na namba
Unajua hata sijakuelewa,kwa sababu umeongea kwa mafumbo,huu ni mjadala wa wazi,hatuko hapa kubishana,Bali kuelimishana na kupashana habari.
Unaweza kuwa una hoja lkn umejikita kwenye ubishani wa kitoto.
Labda kwa kukusaidia na wewe ni kwamba mtoa mada alikuja na habari nzuri TU ya kutujuza lkn alipoharibu ni kuzishindanisha china na Urusi dhidi ya USA.
Wakati Kila nchi IPO kwa ajili ya kujitafutia maendeleo sio Kwa kushindana na nchi nyingine.
Kuna hoja au mada kweli zikekaa kimashindano lkn sio hii ya mtoa mada.
Hata wachina na warusi wenyewe wanajua USA Iko juu Yao kiuchumi lakini hawaioni kama ni mshindani wao Bali mshirika wao kiboashara,ndio maana Leo utaona china anafanya biashara na USA au Urusi anafanya biashara na USA.
Lakini kwa Nini mtoa mada hajaishindanisha Japan,ujerumani,ufaransa na UK dhidi ya USA?
Au hizi hazifangi shughuki za kiuchumi?
Ndio maana nasema tuache ushabiki wa kitoto sio Kila kitu ni ushindani TU.hata USA wanafanya mambo Yao kivyao lkn sio Kwa kushindana nataifa jingine.
Mimi nakushauri na wewe changia kwa unyoofu acha mafumbo,wanapenda mafumbo hua sio wakamilifu.
 
Hio chart ni sehemu ya financial speculations ya soko la hisa la Marekani halina mahusiano na real economy au well being ya majority ya wamarekani

Mfano, tuna speculate kuwa Generative A.I ita disrupt economy ndani ya kipindi x kijacho, so tuna i value NVDIA kuwa na market cap ya kiasi hiki, kama uhalisia hautakua upande wetu, kitu ambacho hutokea mara kwa mara ndipo bubble inapo collapse

Ni speculations, inflation na hype

Marekani ishaondolewa na China kwenye siti ya nchi tajiri zaidi duniani tangu 2017 na haina dalili ya kurudi tena

Plus majority ya utajiri wa Marekani unamilikiwa na 1% ya wamarekani kwasababu ya ubepari uliyo out of control, so haina faida yoyote ile kwa wamarekani hata wakati ambao ilikua nafasi ya 1
 
Uchumi wa Dunia bado uko mikononi mwa Marekani.

Tutarajie mabadiliko kidogo labda kuanzia 2050 huko. Ila kwa sasa na kwa miaka kadhaa ijayo Marekani ndio bado anamiliki uchumi.
Kuna global financial crisis itaipiga kisawasawa US within 2025-2026 na pia nchi nyingine nyingi zitakumbwa nayo. The good thing about US ni kuwa kwenye upande wa ugunduzi wa high tech zinazorun dunia wapo mbele ya muda hao jamaa pia kwenye suluhu za matatizo ya kiuchumia pia hakuna nchi inawafikia halafu wana allies wa maana kabisaaa ambao wanaposhirikiana pamoja basi mambo yanakuwa mukideee.
 
Miaka ya nyuma hakuna mtu aliyekuwa akiitetea USA kwakuwa ilikuwa imeziacha nchi nyingine mbali sana ktk nyanja zoote lakini leo dunia ipo tofauti asilimia kubwa ya watu duniani hivi leo wanatumia bidhaa za mchina kwa lugha nyingine mabilioni ya pesa duniani yanaelekea china na haimaanishi kwamba huko ulaya na marekani mabilioni hayaendi lahasha, yanakwenda lakini huko Asia hasa china yanakwenda zaidi.

Ndo maana leo hii ktk bandari 12 kwa kutoa mizigo mingi nche ya nchi China peke yake inazo 9 hiki ni kipimo cha kuonesha mambo yamebadirika
 
WB na IMF walishatoa takwimu kuwa uchumi ushahamia kwa China.
Katika mali viwanda China anachangia 40% ya bidhaa zote duniani.
The most industrialized nation ni China.
Nchi pekee duniani iliyokopesha sawa na WB/IMF ni China.

Aya uchumi upi wa dunia uliopo USA!!??
Kwa sasa unaweza kuona kama vile China atapiga pesa kwenye biashara kuliko USA, USA huko kwenye kuzalisha phydical assets kama vile magari, machine alibahatika, kwa sasa kabila kwenye assets za silaha na ndege. Kwa sasa wamejikita kwenye online business whats app, facebook, twitter, Estergram, Google, microsoft, amazon n,k hivyo ndo vinavyoingiza pesa nyingi, yaani makampuni hayo kila second yanaingiza bilions of money tofauti na kuuza magari.
 
Back
Top Bottom