Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Siku za hivi karibuni nimekumbana na kisa hiki. Rafiki yangu ananiambia mke wake hataki kushiriki nae kisa ananyonyesha. Hoja yake ya mke ni myth iliyoshamiri ndani ya jamii kwamba sperms huchafua maziwa na kudhoofisha mtoto!
Anahitaji msaada wa kitaalam, uzoefu na maoni ya wadau
hakikisha kuna mpango madhubuti tu wa kuzuwia mama kupata ujauzito.
ningemshauri akapate vidonge vya uzazi wa mpango MAALUM kwa mama wanaonyonyesha.
hayo mengine ni hiyo myth tu uliyoisema
Huyo anatakiwa arudishwe shuleni
Siku za hivi karibuni nimekumbana na kisa hiki. Rafiki yangu ananiambia mke wake hataki kushiriki nae kisa ananyonyesha. Hoja yake ya mke ni myth iliyoshamiri ndani ya jamii kwamba sperms huchafua maziwa na kudhoofisha mtoto!
Anahitaji msaada wa kitaalam, uzoefu na maoni ya wadau
sikuwahi kusikia hii kitu hapo kabla hadi miezi michache nyuma humu JF
watu walikuwa wakizungumzia kumbemenda mtoto ikabidi niombe definition!
kazi kweli kweli
Huyo anatakiwa arudishwe shuleni
mfumo mzima wa masuala ya uzazi katika jamii yetu umegubikwa na utamaduni usio misingi ya kisayansi.
zaidi ya hili, kuna la watu kukataza watu wajawazito kufanya tendo la ndoa hasa wakikaribia siku za kujifungua kwa kuogopa mtoto kuzaliwa na sijui ukoko (dont ask me what ukoko is)
lakini wacha waje wenye kukubaliana na hii hoja ili mjadala upate kunoga zaidi
Hao watoa mada kwenye zile "Kitchen Party" zao wanalo jukumu la kutoa shule kuhusu hilo.
Hahahahahah
Hilo lipo sana. Hata mimi kuna wakati nilijikuta nataka kuwa muhanga wa hizo imani.
Hapa ndio unapogundua kuwa ukombozi wa kweli (na hasa hasa kwa wanawake) utatokana na elimu na siyo kitu kingine. Kuna watu wana pesa nyingi lakini kwa kukosa elimu (maarifa) wanatabika na mahirizi/pete na uchafu mwingine wa akina Shekh Yahaya Hussein.
Pia kuna mambo mengine ya kijinga sana ya kuwafunga watoto kitovu kiunoni au dawa nyingine ili kukinga dhidi ya michango ambayo ki ukweli na utapiamlo (malnutrition).
Kweli safari bado ndefu
thanks G, au pia watumie condomhakikisha kuna mpango madhubuti tu wa kuzuwia mama kupata ujauzito.
ningemshauri akapate vidonge vya uzazi wa mpango MAALUM kwa mama wanaonyonyesha.
hayo mengine ni hiyo myth tu uliyoisema
seriously!!
inabidi tuweke list ya hizi mila za uzazi wazi .....tupate kuelimishana huh!
Siku za hivi karibuni nimekumbana na kisa hiki. Rafiki yangu ananiambia mke wake hataki kushiriki nae kisa ananyonyesha. Hoja yake ya mke ni myth iliyoshamiri ndani ya jamii kwamba sperms huchafua maziwa na kudhoofisha mtoto!
Anahitaji msaada wa kitaalam, uzoefu na maoni ya wadau
Hao watoa mada kwenye zile "Kitchen Party" zao wanalo jukumu la kutoa shule kuhusu hilo.
Kinachoathiri mtoto ni mama au baba kula uroda nje ya ndoa.
hebu njoo utoe ufafanuzi yakinifu hapa kwanza