Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Habari zenu wana jukwaa!
Nimekuwa nikijiuliza sana hilo swali mpaka sipati jibu. Eti lecturer anatoka Dar Anakuja kufundisha Dodoma INA mana kuna uhaba sana Wa vijana Wa Ku cover hizo nafasi.
Kuna vijana wanaingia vyuoni kwa alama nzuri sana na ambazo sio za kubahatisha kabisa na wana uwezo mkubwa sana tena sana ila cha ajabu Mtu anatoka na lower second.
Afu Hao wazee why don't encourage GPA kubwa wanakuambia kuwa wao wanataka MTU practical awe fiti ama unataka uwe academician.
Pia kuna watu wanasoma hapo hata masters yaani hawatoboi wengine wanaishia njiani ila akienda nje anarudi na masters yake fasta.
MIE nachoona kuna ile wewe kuteseka kutusua so unataka kila mmoja apitie njia zako.
Mpaka unaapa kuwa mwanangu inabidi ahaso kama mie. Sasa kuna mana gani ya wewe kuhaso. Inakuwa je MTU anatoka nje k.v ni prof alikuwa anafundisha huko ila akija hapa tz anataka athibitishwe na jopo LA Profesa Wa tz, na hii ishu kumbuka kuwa ni kwa wabongo tu.
Sasa sijui hata Profesa mzungu akija wanamkatalia kuwa wewe sio prof mpaka tukupitishe huku kwetu tukuhakikishe. Najiulizaga sana maswali ila nashindwa kupata majibu. Naombeni mnisaidie kama kuna wazee Wa idara huku mnijibu.
Kuna Dkt mmoja sema akiwa hana Phd akiwa na masterz alimfundishaga mtu akambania sana ila akatusua bana. Akaenda nje anakapiga masters yake mpaka PhD akarudi aliyemfundisha bado ana masters yake. Ikabidi na huyu ticha wake Wa undergraduate akasome PhD nje sasa kibembe kilikuja kuwa anayetakiwa akusimamie ni Fulani yule yule denti wako uliyembaniaga akiwa undergraduate. Bana nakuambia huyu jamaa ilibidi akaichukulie PhD yake huko mahakamani mana alimbaniaga ile mbaya.
Ni kwa nini chuki zisiwekwe pembeni mfano umekosana tu na jamaa anakufundisha ila anakukamata kimakusudi ama umegongana naye kwa demu. MIE najiuliza haya personal conflict yanahusiana vipi na MTU ameulizwa swali akajibu vizuri Je ni kwa nini asipewe alama zake ila mpaka zile chuki zinahamishwa kumpatia MTU alama ndogo ama kumkosesha kwa chuki tu ili kama kumkomoa Fulani.
Pia mfano hili just hearsay Dr akampenda binti akaomba mzigo akakataliwa ila anambania tu ili asifaulu alibebe somo lake kama kumkomoa kwani mapenzi ni lazima ama MTU kuwa na hadhi Fulani BASI anajihakikishia kila kitu atakipata maishani mwake?
Unakuta MTU yaani alisoma sana kwa kukesha sana yaani kwa kuumia sana ile mbaya anataka kila mmoja ahenyeke ndo amsogelee na sio kupata alama kuzidi yeye hapana.
Kuna mizee eti inaapa MIE angali nipo hapa hakuna atakaye first class GPa mpaka nife. Sasa haya ni maisha. Mwanafunzi kama Anakuja na Gari Kali kuliko wahadhiri wake wanaleta chuki usikute wakataka kumkamata kimakusudi. Lecturer anajisifia kukamata watu sapu eti kosta tano wamejaa niliowakamata.
Ama ni ile ile roho ya kiafrika na kimasikini na ya ngozi nyeusi.
Kama kuna sehemu nimeteleza kumbuka namie nitakufa sintoishi milele
Nimekuwa nikijiuliza sana hilo swali mpaka sipati jibu. Eti lecturer anatoka Dar Anakuja kufundisha Dodoma INA mana kuna uhaba sana Wa vijana Wa Ku cover hizo nafasi.
Kuna vijana wanaingia vyuoni kwa alama nzuri sana na ambazo sio za kubahatisha kabisa na wana uwezo mkubwa sana tena sana ila cha ajabu Mtu anatoka na lower second.
Afu Hao wazee why don't encourage GPA kubwa wanakuambia kuwa wao wanataka MTU practical awe fiti ama unataka uwe academician.
Pia kuna watu wanasoma hapo hata masters yaani hawatoboi wengine wanaishia njiani ila akienda nje anarudi na masters yake fasta.
MIE nachoona kuna ile wewe kuteseka kutusua so unataka kila mmoja apitie njia zako.
Mpaka unaapa kuwa mwanangu inabidi ahaso kama mie. Sasa kuna mana gani ya wewe kuhaso. Inakuwa je MTU anatoka nje k.v ni prof alikuwa anafundisha huko ila akija hapa tz anataka athibitishwe na jopo LA Profesa Wa tz, na hii ishu kumbuka kuwa ni kwa wabongo tu.
Sasa sijui hata Profesa mzungu akija wanamkatalia kuwa wewe sio prof mpaka tukupitishe huku kwetu tukuhakikishe. Najiulizaga sana maswali ila nashindwa kupata majibu. Naombeni mnisaidie kama kuna wazee Wa idara huku mnijibu.
Kuna Dkt mmoja sema akiwa hana Phd akiwa na masterz alimfundishaga mtu akambania sana ila akatusua bana. Akaenda nje anakapiga masters yake mpaka PhD akarudi aliyemfundisha bado ana masters yake. Ikabidi na huyu ticha wake Wa undergraduate akasome PhD nje sasa kibembe kilikuja kuwa anayetakiwa akusimamie ni Fulani yule yule denti wako uliyembaniaga akiwa undergraduate. Bana nakuambia huyu jamaa ilibidi akaichukulie PhD yake huko mahakamani mana alimbaniaga ile mbaya.
Ni kwa nini chuki zisiwekwe pembeni mfano umekosana tu na jamaa anakufundisha ila anakukamata kimakusudi ama umegongana naye kwa demu. MIE najiuliza haya personal conflict yanahusiana vipi na MTU ameulizwa swali akajibu vizuri Je ni kwa nini asipewe alama zake ila mpaka zile chuki zinahamishwa kumpatia MTU alama ndogo ama kumkosesha kwa chuki tu ili kama kumkomoa Fulani.
Pia mfano hili just hearsay Dr akampenda binti akaomba mzigo akakataliwa ila anambania tu ili asifaulu alibebe somo lake kama kumkomoa kwani mapenzi ni lazima ama MTU kuwa na hadhi Fulani BASI anajihakikishia kila kitu atakipata maishani mwake?
Unakuta MTU yaani alisoma sana kwa kukesha sana yaani kwa kuumia sana ile mbaya anataka kila mmoja ahenyeke ndo amsogelee na sio kupata alama kuzidi yeye hapana.
Kuna mizee eti inaapa MIE angali nipo hapa hakuna atakaye first class GPa mpaka nife. Sasa haya ni maisha. Mwanafunzi kama Anakuja na Gari Kali kuliko wahadhiri wake wanaleta chuki usikute wakataka kumkamata kimakusudi. Lecturer anajisifia kukamata watu sapu eti kosta tano wamejaa niliowakamata.
Ama ni ile ile roho ya kiafrika na kimasikini na ya ngozi nyeusi.
Kama kuna sehemu nimeteleza kumbuka namie nitakufa sintoishi milele