Eti mi mchoyo

huyo mama anataka nini zaidi? Mkuu sikia kengele tulia na wako maana sijaelewa hata huyo mama mazingira anayoishi kifamilia yako vipo ameolewa au ndio ile mijimama ya mjini?

Anaishi na watoto wake,nasikia mme wake yuko abroad na sijawahi kumsikia kurudi
 

Kwa swala la kwenda na wife Bar kumuonyesha kwamba nagawa kwa sana sidhani kama uko serious AshaDii, japo pia mi sio mgawaji kihivyo, on this specific case, kama ni kweli huyu mama alikuwa anamawazo ya jigjig basi I was very naive to notice, lakini nimenunulia bia baada ya kugundua malalamiko yake yalikuwa very serious hivyo sikutaka kufikiria kama kutokuwa mchoyo kwake ni wajibu wangu au la!!

Swala la yeye kuninunulia, it is unfortunate kwamba huwa sichukui zawadi za wanawake, na ni hivi karibuni tu ndio nimejifunza kupokea zawadi kutoka kwa wife bila kuzicritisize.otherwise nakubaliana na wewe mia kwa mia, Mwanaadamu hana shukrani.
 
Great Thinker, that's why I appreciate this forum, hahahahaaaa............Napita tu wakuu
 
Yani mpaka hapo hujamfamu huyo mama anakusudia nini? akupishe uko asikupunguzie mda wa kuishi. na wewe usikubali kuchunwa kirahisi hivyo hayo maneno yake sio moto au mkuki akikwambia mchoyo mwambie ushazowea hayo maneno..
 
Kama Mungu kakupa uwezo wa kupata pesa za biya kwa nini unamnyima mama wa watu aliye umbwa na Mungu huyo huyo?
 
'viceversa of the whole scenario might also be true'
 
Hali yangu namshukuru Mungu, ni mzima wa afya. Manyanza what of you, u hali gani?

kwa sasa nipo poa kidogo mwezi May nilipata ajali mbaya sana ya gari nilipoteza fahamu kwa siku sita na nilipata mtikisiko wa ubongo bado jicho la kushoto halijatulia
 

Yamekuwa yetu tena, jiongeze wew
 

Kwakweli hata mimi nakuona kuwa wewe ni mchoyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…