eti miss Tanzania 2011 ametuwakilisha vizuri

eti miss Tanzania 2011 ametuwakilisha vizuri

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Miss Tanzania 2011, Salha Israel, amefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya taji la Urembo wenye malengo maalum (Beauty with Purpose) yaliyofanyika nchini Uingereza.mia

http://3.bp.blogspot.com/-_DSdR7CTXsg/Tq_xQIfE2wI/AAAAAAAAQkA/Oo5Z6aWT2q8/s1600/01.jpg
01.jpg
4.jpg


 
yakiisha hayo mashindano atarudi na kutoa misaada kwenye kituo cha yatima,atafungua mfuko wakusaidia watoto wanaoishi na vvu kisha jiiiiiiiiiiiiiiiii
kuonana tena mashidano yajayo itakapo kuwa zamu ya mwingine with the same story
 
Anyway, she is beautiful!! I have fallen in love with her.
 
yakiisha hayo mashindano atarudi na kutoa misaada kwenye kituo cha yatima,atafungua mfuko wakusaidia watoto wanaoishi na vvu kisha jiiiiiiiiiiiiiiiii
kuonana tena mashidano yajayo itakapo kuwa zamu ya mwingine with the same story
atamegwa megwa na vibosile
 
Damn, the girl is soo cute. I wish her all the best.
 
Back
Top Bottom