NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
mmmmhhhhhh nitamwambia dada yangu yote unayofanya hapa??????
haya yaapi si twazungumza tuu..na tena umetukuta barazani angalau labda tungekuwa chumbani lol we desidii mhh haya yaonyesha ushanchukia mtoto wa watu.. Inshallah kheyr.???[/QUOT
Sina kinyongo na wewe dear kwanza hayanihusu!!!
kaaazi kwei kwei
haya yaapi si twazungumza tuu..na tena umetukuta barazani angalau labda tungekuwa chumbani lol we desidii mhh haya yaonyesha ushanchukia mtoto wa watu.. Inshallah kheyr.???[/QUOT
Sina kinyongo na wewe dear kwanza hayanihusu!!!
mbona mi sijabadili bado?
Ooohh sabah lkheyr kwanza... Na preta hajambo kaamkaje??? Mana jana uliniaacha kwenye mataa...
preta tena?
SASA KWANINI ULINIACHA JANA UKAKIMBIA KABSA KABSAAA..NA WAKATI NAJUA WAMFATILIA PRETA MI NISEMEJE SASA??:frog:.
hivi hujui nimechora tattoo ya jina lako kwenye mtima wangu?
habari zenu waungwana?
...................
dahHivi kuna watu wanapata wapenzi wa kiukweli humu,tehe tehe tehe!!!
Hivi kuna ukweli kwamba mliopata wapenzi jf mumesajiri ID nyingine??ili msigundulike kama mnachangia mada zakuwasononesha wapenzi wenu???je nikweli? Mawazo tafadhali.
ndo nini sasa
SI NDO HIVYOOO..... :brushteeth::ranger:
Ee ee sikujua kuna watu wako serious hum wakisema natafuta mpenzi kumbe wanamaanisha, duh haya bwana kila la kheri.