Eti mliopata wapenzi JF.......

We bana ushawahi kuona ukuta unmaangalia TV?
Ushawahi kuona TV inawashiwa kiyoyozi?
Ushawahi bebi kambisha mutu for five times within five awaz?

Kugongwa ni heri ya ngumi au makwenzi kwa watoto
Manake kuna the crapiest na kitu feki...hahahahaha
kwenye hili nitalileta mezani...............crapiest
 
We ushagongwa mara ngapi?

Muda si mrefu tunakuandalia ajali nyingine!

Hivi unajua carina TI alipo, mpe salafu....mwambie aache tabia ya kugongwa gongwa
 
Habari yake binafsi hommie...
Katika izo five hrs unakambisha babe kwa ten sousend?
 
mapenzi on-line ni kupumzikiana na kupotezeana muda inashangaza mtu antongoza "avatar" ambayo ipo sweden yeye yupo bongo (eti demu wakw wa JF) .. Soooo low
 
Habari yake binafsi hommie...
Katika izo five hrs unakambisha babe kwa ten sousend?
hahahahaaaa!!
hapooo chacha!! umepiga cm, umeambiwa nipo njiani, cm yangu imeisha vocha.......hujaombwa vocha unatuma mwenyewe.........baolojia inafuraha inajua itakutana na class mamalia........5hrs later.........unaanza kumuangalia eliza wa kaunta kwa macho ya kurembua.........Ujue ushagongwa tayari.
 
mapenzi on-line ni kupumzikiana na kupotezeana muda inashangaza mtu antongoza "avatar" ambayo ipo sweden yeye yupo bongo (eti demu wakw wa JF) .. Soooo low
Orait. asante kwa kulijua hili.
alafu usiwasemee wengine.....kama wewe ulitongoza avatar ya sweden ni kwasababu uliipenda avatar.......wengine wanatongoza location.
Nisome..
 

Na ole wako, ushalala kwa bed na nyagi yako mpaka saa saba afu mtu hatokei.

Hii inachukua namba ngapi ya ugongwaji?
 
Hapa imebidi nicheke kwa sauti...
Class mamalia inanuna kwa wewe kumkodolea macho Eliza, then unaona isiwe tabu unamwambia Baby come this way..ndani ya tukutuku haoo mnatimka!
 
Orait. asante kwa kulijua hili.
alafu usiwasemee wengine.....kama wewe ulitongoza avatar ya sweden ni kwasababu uliipenda avatar.......wengine wanatongoza location.
Nisome..

Ahh wapi.. Siwezi kupoteza Muda kutongoza AVATAR za JF , Rijali can do better than that...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…