kwenye hili nitalileta mezani...............crapiestWe bana ushawahi kuona ukuta unmaangalia TV?
Ushawahi kuona TV inawashiwa kiyoyozi?
Ushawahi bebi kambisha mutu for five times within five awaz?
Kugongwa ni heri ya ngumi au makwenzi kwa watoto
Manake kuna the crapiest na kitu feki...hahahahaha
kwenye hili nitalileta mezani...............crapiest
hahahaaaaa!Unapenda kugongwa na Crap au ni Kitu fake toka Shanghai?
We ushagongwa mara ngapi?
Muda si mrefu tunakuandalia ajali nyingine!
kazi yangu ni kutoa mihela tu.............kunywa.........leta St. Anna......leta Dovutwa mbili za baridi.Mi ntakuwa nahakiki bili.....wewe?
Habari yake binafsi hommie...We bana ushawahi kuona ukuta unmaangalia TV?
Ushawahi kuona TV inawashiwa kiyoyozi?
Ushawahi bebi kambisha mutu for five times within five awaz?
Kugongwa ni heri ya ngumi au makwenzi kwa watoto
Manake kuna the crapiest na kitu feki...hahahahaha
nagongwa,,,,,nagongwaaaaHivi unajua carina TI alipo, mpe salafu....mwambie aache tabia ya kugongwa gongwa
hahahahaaaa!!Habari yake binafsi hommie...
Katika izo five hrs unakambisha babe kwa ten sousend?
nagongwa,,,,,nagongwaaaa
na-come babe back....nagongwaaaa
Orait. asante kwa kulijua hili.mapenzi on-line ni kupumzikiana na kupotezeana muda inashangaza mtu antongoza "avatar" ambayo ipo sweden yeye yupo bongo (eti demu wakw wa JF) .. Soooo low
kazi yangu ni kutoa mihela tu.............kunywa.........leta St. Anna......leta Dovutwa mbili za baridi.
hahahahaaaa!!
hapooo chacha!! umepiga cm, umeambiwa nipo njiani, cm yangu imeisha vocha.......hujaombwa vocha unatuma mwenyewe.........baolojia inafuraha inajua itakutana na class mamalia........5hrs later.........unaanza kumuangalia eliza wa kaunta kwa macho ya kurembua.........Ujue ushagongwa tayari.
Hivi unajua carina TI alipo, mpe salafu....mwambie aache tabia ya kugongwa gongwa
Hapa imebidi nicheke kwa sauti...hahahahaaaa!!
hapooo chacha!! umepiga cm, umeambiwa nipo njiani, cm yangu imeisha vocha.......hujaombwa vocha unatuma mwenyewe.........baolojia inafuraha inajua itakutana na class mamalia........5hrs later.........unaanza kumuangalia eliza wa kaunta kwa macho ya kurembua.........Ujue ushagongwa tayari.
Na ole wako, ushalala kwa bed na nyagi yako mpaka saa saba afu mtu hatokei.
Hii inachukua namba ngapi ya ugongwaji?
Amegongwa wapi? teh teh teh duh
Amegongwa na thread ya leo
hahahaaaaa!
shanghai.................ukiweka kwenye crapiest unapata nini???
Orait. asante kwa kulijua hili.
alafu usiwasemee wengine.....kama wewe ulitongoza avatar ya sweden ni kwasababu uliipenda avatar.......wengine wanatongoza location.
Nisome..