Eti "Mtoto wa Rugemalira (Escrow) akila Bata na Rihanna"

we bwana mdogo ndio kusema unajifunza ku-quote?

Unafikir makumbusho unapoish hapa.heshima inastahil ichukue mkondo wake hata unadhan uko alone kwa chatting
 
Rihana mwenyewe anaonekana kama haenjoy kuwa na huyo...Hata tabasamu hana, pili amekaa kama anamkwepa asimguse atamchafua....



Rihanna kwa kukaa kihasara hasara hajambo au ndio ana tutega?
 
Mvuto no keel anao lakin mvuto is one thing tu unless uniambie nawewe no wakuwaka tamaa chapachapa
 
Unafikir makumbusho unapoish hapa.heshima inastahil ichukue mkondo wake hata unadhan uko alone kwa chatting

Kama huwezi namna ya kutumia JF kaa kando kwanza ujifunze, sio una nukuu watu hovyo na kuwaunganisha na vitu ambavyo hawajaandika...

Hebu kuwa mstaarabu...
 
Kama huwezi namna ya kutumia JF kaa kando kwanza ujifunze, sio una nukuu watu hovyo na kuwaunganisha na vitu ambavyo hawajaandika...

Hebu kuwa mstaarabu...

Dogo naona zarau uaweza lakin naona unaanza leta ligi paka huku demu nimeachana
 
watu8 nakupa muendelezo wa lile jamaa likawekewa mpa ulimi kwenye sikio maana mtoto alikuwa kakolea na kilevi
 
Rihana mwenyewe anaonekana kama haenjoy kuwa na huyo...Hata tabasamu hana, pili amekaa kama anamkwepa asimguse atamchafua....

Amguse hapo! Unawajua mabaunsa wanavyotafuta sifa wangemgombea kama mpira wa kona, halafu angebebwa juu juu mpaka nje.
 
sifananii hivyo tuheshimiane! :teeth::becky:
 
Pamoja na kuogelea kwenye fedha ya baba bado midomo imempauka kiasi hicho, je baba asingekua nacho si ingekuwa balaa...
 
..unaona jinsi maisha yalivyo ironic!...baba zao kijana huyu wanalazimika kutuibia ili watoto wao waweze kuishi maisha kama haya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…