fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 354
- 52
Kwa kweli huyu mwana mama amenishangaza leo.
Nni jirani na amezaa watoto watatu na mume huyo mmoja, cha kushangaza leo ametoa matusi mazito kwa mumewe akisema ni mume gani ambaye hata uume wake haumtoshelezi huyo mama, yaani hamgusi anavyotaka.
Sijui alikuwa wapi miaka yote mpaka wamezaa ndio anagundua mume hawezi kazi, ama ni porojo zake tu?
Mimi sielewi.
Nni jirani na amezaa watoto watatu na mume huyo mmoja, cha kushangaza leo ametoa matusi mazito kwa mumewe akisema ni mume gani ambaye hata uume wake haumtoshelezi huyo mama, yaani hamgusi anavyotaka.
Sijui alikuwa wapi miaka yote mpaka wamezaa ndio anagundua mume hawezi kazi, ama ni porojo zake tu?
Mimi sielewi.