Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,662
- Thread starter
-
- #21
Na mie nimejiuliza huyu si shamimu kumbe ni kweli
Huyo mkewe ni shamimu??????????!!!!
Mhhh sijasikia maa twende pm ukanipe hot hot...
He he heiyaaaaa
Dina huo uzuri ni wa kwenye avatar tu au ndio hata physical, maana hiyo picha inakaribia uzuri wa mke wangu!
Sina uzuri huo hata robo ni avatar tu mpendwa
Mbona sioni inachoongea
Na mie nimejiuliza huyu si shamimu kumbe ni kweli
Hebu ongeza sauti kama mimi nilivyofanya utaisikia ikiongea...
WaanzilishI wa jamii forums ni Mike mushi na Maxence Melo ( Mchaggavna Mhaya)
Ni kweli uyasemayo au ndio unampiga stop jamaa ili asije akaenda mbali zaidi??
"Analyse"
Ni kweli kabisa true true
Fanya mpango tuonane ili nihakikishe
Kwa niandikayo humu ukiniona utazimia bora kuepusha hiko kikombe
Ban hiyooooo inakunyemeleaKhaa wonders shall never cease hadi Maxence Melo ameanza tafuta promo na id mbili mbili??
Naiona kwa mbaali ban inakunyemelea.Kumbe huyu ndio Bwana Maxence Melo ???? NO OFFENCE MEANT Ila naona hafanani na Jf ingawa ndiye muanzilishiii daah.