Eti mwanzilishi wa JamiiForums ni Mzungu?

Ali kiba anakwambia "it is personal" ngoja tusubiri Mkuu wetu atasemaje.
 
Kwa Tanzania haiwezekani kujulikana. Lakini wengi wa hao unaowaita "CEO" ni watu tu wanaofanya kazi ya kuisadia Jamii. Hawa ni kam kina Shem Kalenga ama Fadhili Williams ambao walitunga nyimbo za maana sana enzi zao lakini walikufa wakiwa fukara. Leo hii sidhani kama nyimbo za wanamuziki wa kizazi hiki miaka kumi ijayo zitakuwa na thamani yake ya sasa, lakini wanamuziki wake ni matajiri mara elfu zaidi kuliko kina Mbaraka Mwinshehe.

Hawa kina Maxence Melo ni vilongola (Pioneers) tu wanaotengeneza njia kwa ajili ya wamiliki wa baadae watakaokuja kuwa matajiri kama kina Mark Zuckerberg mmiliki wa mtandao wa Facebook!
 
Hahhaa juzi nimetumia hiyo Salamba kwenye comment moja hivi ila ulijibu poa nikaamua nikuache.
hahahhaa ndio ujue mimi ni mtu napenda maandishi yako hum, hiyo salamba jamani hajahhahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…