Eti Mzungu kwenye BSS, Joseph Payne ni agent wa CIA?

Kwani Tanzania kuna siri?Kila kitu kiko wazi uchi,ukitaka passport hata mbili au nne utapata tena kwa pesa kichele tuu,ukitaka ubunge unapata tena kwa buku mbilimbili tu unapata kura zote,ukitaka urais unapata bila soo watumie TISS tuu.
Ukitaka uwaziri muone riz na salma mambo mswano bongo tambarare.sembuse usuperstar wa bongostarsearch kuwa mzungu acha apate.
 
Kama ni information hawana haja ya kuleta mtu huku, muungwana mwenyewe kila mwezi anakwea pipa kuzipeleka!
 
Kama ni kumharibia ni asilimia ngapi ya wapiga kura bss wako jf na wanauhakika wa kupiga kura saa zote ?
 

teh teh teh! Tetesi nyingine !
Hivi kwa nini hukusema ni agent wa Scotlandyard coz huyu jamaa katoka uingereza.
Kuna tetesi kuwa madam rita alitonywa kuwa huyo jamaa ni jasusi hivyo asishinde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…