Hapana. tunazo changamoto nyingi Sana za kimfumo na uendeshaji wa soka letu toka ngazi ya chini hadi ngazi ya juu. yanga na simba zikifa na mpira umekufa. inatakiwa kuwe na timu kama Tatu nne tofauti ziweze kutoa ushindani kwa hizi timu mbili. mfumo wa ligi za chini urudishwe. ligi ya Taifa. umitashumta na umiseta. vpl haina hadhi ya kusajili wachezaji kutoka nje. Wachezaji wa ndani wangetosha na hapo tungepata timu ya Taifa bora. ligi yako ina wachezaji wa kigeni Wengi Sana wakati wewe wanaocheza ligi za nje hawafiki watano unategemea kuvuna nini timu ya Taifa