Eti ni Kweli KQ ile route ya US ndio inawatia HASARA

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Eti nimesikia baadhinya wasomi wa 254 wana dai eti ile route ya US ni moja ya route ya hasara kwa sababu eti siku izi US wamekazia utoaji visa ss wanaokwenda ni wachache ... Ss naomba wadau wenye izi detqil . Nq nilisikia eti ata UG airline wanaichukulia iyo route kqma case study
 
Ngoja ufipa waje watakutukana ....ukimgusa mkenya umemgusa mfipa [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mbona hasara zilianza yangu tangu enzi za uhenga miaka ya 47 hii tunaita mbaazi kashidwa kutoa maua kasingizia JUA
 
direct flight to US walienda mara moja tu na hawakurudia tena, ILISAFIRI NA WATU SITA. TU!!
Bado Safari za new York zinaendelea japo sio daily flights kama ilivo kua,kua informed kijana
 
Bac kama KQ wamepunguza izo direct flight ni jambo jema maana ni bora ufanye kitu cha faida kuloko hasaraLKN ss ajabu ni kwamba eti ata rwandair na wao wana fight wapate kibali cha kuruka direct to NYC ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…