semmy samson
Member
- Dec 20, 2010
- 85
- 0
Naona mkuu unapenda sana kuandika neno the "man from nowhere" kila unapomaliza post zako,nikusaidie tu unaweza kuiweka kama signature yako kwa kwenda kwenye private messages hapo juu,kisha tafuta sehemu imeandikwa edit signature ,ukiingia hapo unaweza kuandika neno hilo na litatokea katika kila post unayotuma bila kulirudia kila unapotuma post.
Yawezekana maana mambo hayo yanaendana na nguvu za mwili,ndio maaana utakuta shamba boy ni wazuri sana kwa kuwa kazi zao zinawafanya miili yao iwe fit.
sababu nyingine huenda ikawa ni kukosa mazoezi kwa maana muda mwingi yuko kwenye buku huwezi mlinganisaha na mtu wa kazi za nguvu.Kusoma kunadhoofisha mwili,ndio maana wengi wana miili midogo midogo.
Naona mkuu unapenda sana kuandika neno the "man from nowhere" kila unapomaliza post zako,nikusaidie tu unaweza kuiweka kama signature yako kwa kwenda kwenye private messages hapo juu,kisha tafuta sehemu imeandikwa edit signature ,ukiingia hapo unaweza kuandika neno hilo na litatokea katika kila post unayotuma bila kulirudia kila unapotuma post.
Hivi uprofessor unasomewa au? Halafu hili kwa watz wengi tunaona Uprof ni kazi kubwa kuupata....Hata maprof wenyewe wanajiona sana hivyo ukileta ubrothermen kitandani pia kuna ubrothermen, huko kazi mwendo mdundo tuuu....Pia kuna maprofesor wa mapenzi jamani acheni......
mmh jaman una roho nzuri!!!!!!!
asante kwa niaba.
Naona mkuu unapenda sana kuandika neno the "man from nowhere" kila unapomaliza post zako,nikusaidie tu unaweza kuiweka kama signature yako kwa kwenda kwenye private messages hapo juu,kisha tafuta sehemu imeandikwa edit signature ,ukiingia hapo unaweza kuandika neno hilo na litatokea katika kila post unayotuma bila kulirudia kila unapotuma post.
we bwana weeeee ushaambia 6 kwa 6 haina prof wala tutorial assistattttt ni wewe tu wajua nini na haujui nini
ule mchezo hauna status kwa maskin na tajir kipanga na kilaza ...kila mtu anajua kivyake na kwa mtu wake....inawezekana ukawa unajua kwangu na ukenda kwa mwajuma akakuona cha mdori..
maprof wengi ni vilaza kwenye kitanda lakin haimaanish ukiwa prof basi wewe ni buzozo panapo bed..watu weng ata wasio maproff ni wazembe /hawajui/hawadumu panapo mahusiano na bed kwa ujumla ..WEWE UMESAIT MAPROF KWA SABABU WAPO WACHACHE..lakin kiujumla i pbm ni ya wote![/QUOTE]
ukweli sio ma prof tu ni kwa watu wote walio busy (they make a lot of money)
mmh jaman una roho nzuri!!!!!!!
asante kwa niaba.
OYAAAA WAUNGWANA SHWARIII.
EBWANAE HII MI NIMESIKIA TU ILA SINA UHAKIKA ''ETI NI KWELI KWAMBA WASOMI WENGI HASA WALIOKWENDA MPAKA NGAZI YA UPROFESSOR NI WABOVU KWENYE MAMBO FLANI ?" NDIO MAANA HATA WAKE ZAO WANAPENDA KUTOKA NJE, NYIE MNASEMAJE WAUNGWANA??
ETI UKIPIGA BUKU KWA SANA AKILI INACHOKA NA KAMA AKILI IKICHOKA NA MWILI UNAKUWA DHAIFU HASA KATIKA MAMBO YA MAPENZI JAMANI HII NI KWELI? MSAADA....
tHE mAn FrOm No WhErE.............