Eti ni kweli wanawake wana tabia ya kupitiliza?

Kuna mtu hapa jamvini (simkumbuki) aliwahi ku-comment kwamba inatakiwa mwanamke asikuelewe, yaani uwe kinyonga. I think this is what you mean hapo kwa red ya kwanza

Hiyo red kubwa hapo chini inasomeka vema

Nashukuru kwa uekewa wako mzuri
 

hiyo title yako imeniacha hoi kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…