sio mdogo wangu, ananiheshimu na kuniamini kama sister wake; l am not related to her whatsoever. Thanks nimeongea naye; na namtafuta huyo Y kwenye simu sijampata, lemme write him a long email and put a link of this uzi ili aone watz wanavyoona kitendo chake!
kwa mtizamo wangu
mtu akiwa na hasira hatakiwi kuandika vitu
vinaweza kuja tumiwa against you baadae
hasa kama unayedeal naye ni mtu smart
Hasira zimepungua. l will see what l can do, naweza hata kuongea naye ana kwa ana; l am sure in that way itakuwa bora zaidi. Ila mbona hucomment kuhusu kitendo chake cha kumtumia binti wa watu na bado akaonesha dharau zake za kutaka kumchezea mdogo wake?
Take a deep breath Kaunga. Hasira ni hasara. Give them some room. Zungumza nao wote baada ya kutafakari ni nini kinakuagitate na baadae anza kuwashambulia. Tumia Reverse Psychology on them both and this way utafanikiwa azma yako.
Haya na sie wa Tabora tumekukosea nini mpaka utuite mijitu![FONT=book
antiqua]hahaha,....hebu usinipake mafuta kwa mgongo wa
chupa bana...
mijitu ya Tabora utaijua tu, japo wewe unatofauti kidogo!...
...sasa huyu phd holder, Dr 'why' kwanini lakini anafanya mambo
ya ajabu ajabu yarabi? kabila gani huyu aso'haya wala kuona
vibaya?
Hata wazaramo wamestaarabika!
[/FONT]
Tutajitahidi mwaya, ila the idea ya kuwa kesho kazini, inaniput off kabisa. LOL