Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshangazi kama mshangaziYaani nije nyumbani kwako halafu uniache niondoke tu ...
Kuwa uyaone!Dah, kwa bahati mbaya me wa kisure hayo mambo ya wali mkavu ndo naskia leo, hivi mnawezaje 🤔
Asante maana na mimi sijawahi elewa maana yake, maneno yake ni contextual/yanaeleweka na watu wa mahali fulani tu. Mi huwa naelewa hali wali mkavu, huko nyuma sijui.Mtembea bure, si sawa na mkaa bure,
Mguu wa kutoka, mtume kauombea.
Kugaa gaa na upwa, yaani kutembea ufukweni.. Hutokosa cha kufanya kitoweo.
Huwezi kula wali mkavu.
Nadhani hii sana ni kwa watu wa pwani.Asante maana na mimi sijawahi elewa maana yake, maneno yake ni contextual/yanaeleweka na watu wa mahali fulani tu. Mi huwa naelewa hali wali mkavu, huko nyuma sijui.
Sema kweli???Dah, kwa bahati mbaya me wa kisure hayo mambo ya wali mkavu ndo naskia leo, hivi mnawezaje 🤔