wakuu naomba mnijuze eti vyuo binafsi vya afya nako kuna ushindani wa kupata nafasi maana kuna mtu ana bios c chem c na phy d math f english d masomo mengine yote d anataka asome diploma ya clinical medicine je anaweza akachaguliwa maana sasa wanaomba kupitia nacte je anaweza pata nafasi katika private school! Msaada wakuu