JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
habari za kuaminika zimepatikana yule dada aliyesumbua magazetini maarufu kama sinta ndoa yake aliyofunga na kijana wa kiganda mwaka 2009 imefunjika na amerejea rasmi jijini dar.
mmh....ngoja nipite tu
sijaona kama ni issue hiyo kwani yeye ndo wakwanza kuachika? OK KAMA AMEACHIKA SO??????
Lazima tutoe taarifa ndio kazi ya jukwaa la celebrety ukiwa mashuhuri lzm ishu ziwe disclosed na huu si umbeya its factsumbeya tu.mchapa shughuli kwa umbeya
Ahahahahahahaha..sasa cha ajabu kitu gani kaachika Mwamvita makamba sembuse sinta?angalieni changamoto zenu sio kuandika mambo ya kipuuzi tu,msilete mambo ya vibarazani hapa inabidi muongee vitu sensitive au kuna mtu anakula kupitia jina la sinta...acheni hizo mambo
umbeya tu.mchapa shughuli kwa umbeya
<br />Yan tunaacha kudiscuss masuala muhmu yanayo2kabili sis watanzania,eti 2kae kudiscus upumbavu wa mtu mmoja,kwanza ye ni nan?
[B said:mchapa shughuli[/B];2017363]Habari za kuaminika zimepatikana yule dada aliyesumbua magazetini maarufu kama Sinta ndoa yake aliyofunga na kijana wa kiganda mwaka 2009 imefunjika na amerejea rasmi jijini Dar.