Eti Starz "Waapa Kufia Uwanjani" !!!!!!???????

Eti Starz "Waapa Kufia Uwanjani" !!!!!!???????

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimekuwa nikiyasikia sana haya maneno kwenye vyombo vya habari hususan timu fulani inapokabiliwa na mechi ngumu na leo asubuhi nimesoma pia gazeti moja limetaarifu kwamba ti Timu yetu imeapa kudia uwanjani siku ya mchezo na Chipolopolo...najiuliza kama watu hutafakari kabla ya kusema na kwamba tangu usemi huu uwepo wamekufa wangapi.......na kama wanaelewa maana ya KUAPA
 
siku ukipitishwa sheria kuwa mchezaji wa timu yetu ya taifa ili achaguliwe ni angalau awe amemaliza Form VI na kupasi wengi watakuona kama umepotea njia na kuleta madharau kwa vile kipaji na elimu ni vitu viwil tofauti.
Hawaoni aibu kusema hivyo hata kwa mechi hya kirafiki kama hii!!!
 
siku ukipitishwa sheria kuwa mchezaji wa timu yetu ya taifa ili achaguliwe ni angalau awe amemaliza Form VI na kupasi wengi watakuona kama umepotea njia na kuleta madharau kwa vile kipaji na elimu ni vitu viwil tofauti.
Hawaoni aibu kusema hivyo hata kwa mechi hya kirafiki kama hii!!!
kiu yangu watoe demo ya kufia uwanjani siku moja iwe kwa kushinda ama kwa kushindwa maana hii ndiyo maana yake
 
Back
Top Bottom