Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

Dunia iko kwenye mkakati wa kuondokana na fossil fuel wewe unashabikia ujinga! Kama ni back up kwa nini wasitafute technology ya clean energy?
In first place walisema back up ya train hizi Iko within,umeme umecheza kidogo Kadogosa anaanza kutafuta matumizi mapya
 
Kwa kamusi ya kiswahili Wasseengee ni watu wanaofanya mambo kinyume na matarajio........
Kwa hiyo hao ni..........................(utamalizia mwenyewe)
 
Umeandika rundo la lawama, una uhakika na chanzo cha habari ambayo unaijadili kwa jazba?. FAKE NEWS.
Kwani mnaweza kuwa na majibu zaidi ya "Fake news" "Uzushi" "Upotoshaji" "Uchonganishi" ??.....Ufafanuzi uliotolewa jana usiku usiku mbona haukusema ni Fake news? 😲😮
 
Jana jioni kaikanusha hiyo habari.
haya kuhusu airt tanzania nimekuwekea vyanzo ambavyo ni vya ulaya huko huko tena vya kuaminika na chanzo kimoja cha TZ ambacho ni the citzen.
Kuhusu vichwa vya diesel niliona screenshot za gazeti labda kama lilikuwa photoshoped.
 
Na ukichunguza kwa makini huyu aliyekuja na hili wazo utagundua Kuna jambo lipo nyuma ya pazia, hasa upigaji na sabotage ya SGR
Shida kubwa Kadogosa anayaka ubunge plus pesa kuhonga wanasiasa jina lake lirudi.....anapiga deal za mwisho mwisho kabla hajatoka.....ujinga mtupuuu
 
Ujinga wa karne ya 21
 
Unategemea maendeleo kuletwa na mashoga na wasagaji?
 
Nazani tatizo la umeme sasa ivi ni trasmission line, na sio kiwango cha umeme kilichopo.

Japo kuhusu SGR, Shida ni wao wenyewe sio tanesco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…