Eti Uchumi wa Bluu!

ukisema neno uchumi wa blue kule visiweni huenda ukaishia ndani, serekali ya ccm wanahisi kama wanafanyiwa shindi. ni kujishtukizia tu

Maendeleo chini ya ccm ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa
 
Krismasi imeisha hiyooo
 
Imekusudiwa kifalsafa hapo ,si unaijua ile buluu itiwayo kwenye nguo,haswa nguo nyeupe ,hivyo unapoambiwa uchumi wa buluu weka akili utafakari kwa kina,isiwe unaokota maembe alfajiri sana ,utaokota mpaka mabovu.
 
Okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…