Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 484
- 178
Nilikuwa natazama BBC news leo kukawa na habari inayosema kuwa umeme utakaomika kuwashia mapambo ya kirimasi mwaka huu huko marakani ni zaidi ya umeme tunaotumia mwaka mzima hapa Tanzania. Nikaona wana chitchat inabidi hili tuliweke mezani na ikiwezekana tumfikishie prof Muho ngo alifanyie kazi