Eti utaachika????

kwani lengo kuu la kuoa kwa wanaume ni nini, au kama ukioa halaf ukakuta mke wako hana njia ndoa itadum kweli. wote waume kwa wake lengo ni moja
 
mmmh, kule vekeshi mlifadhiliwa?
Mi nimetaja vitu muhimu, na financial security ni part of it.
By the way, nimeanza kutafuta na kazi kabisa huku huku
Hakuna dalili ya kurudi any soon... having so much fun! :A S wink:
 

Umeongea vema sana
 
Last edited by a moderator:
Naam,hatimae nguvu ya pesa inaonekana kwenye nyuso na maandiko ya wanawake!
Eiyer ni kweli hayo usemayo? nafikir mekuwa too genaral mahali ambapo wengine tumekuwa diversified. hebu soma vizuri hizi post?
 
Last edited by a moderator:
can i join you guys?

Hata kwa siku 2 tu, am lonely here.

Mi nimetaja vitu muhimu, na financial security ni part of it.
By the way, nimeanza kutafuta na kazi kabisa huku huku
Hakuna dalili ya kurudi any soon... having so much fun! :A S wink:
 
Jamani mtu asikudanganye...ukiwa una matatizo na dushelele, hata kama una mipesa utatokea mtu utasaidia pembeni. Unless umri umeenda yani umepita ile age ya matamanio ya kila saa ya mwili, lakini pesa hainiweki kwasasababu nistahmili udhaifu wako.
 
can i join you guys?

Hata kwa siku 2 tu, am lonely here.
Unawezaje kua lonely with so many people (ke na Me)?
Au ndio kama hao wana pesa ila kazi inawashinda? lol
Njoo basi. Ila tatakayo tokea huku na yaishie huku huku :hug:
 
Aaah.. Kama ni gari, sijui pesa na matakataka mengine nimeyaacha yote kwa Babangu nikamfata mume..Sasa huyo mume nikimkuta kumbe Abdala kichwa wazi hawezi kupanda mtungi..Akhaaaa...Narudi zangu kwetu! Kwa mume siendi kwa ajili ya kuchuma pesa jamani, namfata Abdala kichwa wazi naomba nieleweke..
 
kwani lengo kuu la kuoa kwa wanaume ni nini, au kama ukioa halaf ukakuta mke wako hana njia ndoa itadum kweli. wote waume kwa wake lengo ni moja

Soma post za wanawake ndo utajua kwanini wanaolewa!
 
Eiyer ni kweli hayo usemayo? nafikir mekuwa too genaral mahali ambapo wengine tumekuwa diversified. hebu soma vizuri hizi post?

No,nimewaelewa vizuri sana!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…