Oky ! Labda nimaelezea vibaya, nasoma BAED(linguistics an Kiswahili) bt utafiti forced kuwa wa kiiengereza.. Je nasoma hivi na favour yangu kubwa ni kubase kwny Kiswahili so ni lazima kuandika hiyo kitu kwa kidhungu, ...But all in all asante wachangiaji kwa strong and harsh words zenu(sio wote) , nahisi ni vema kudadisi zaidi kisha ndo judge; am still learning, kama nimeandika kitu kwa kushindwa kukieleza perfect ni vema kuniweka sawa, kisha kunipa muongozo!! Ningekuwa najua kila kitu nisingetaka ushauri au muonozo !! Am disappointed wth some of your answers Wachaniaji !! Hav a blessed Sunday....
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums