Eti wachaga kuna ukweli ktk hili kuhusu nyinyi?

Sio ugomvi,ni matokeo ya kundi fulani la mahali fulani kuhamia eneo lingine halafu muda unapopita kunatokea mabadiliko ya lugha yanayopelekea majina kubadilika pia.Mfano wachaga wapo wa aina kama 4 hivi,ukisikiliza wanavyozungumza ni tofauti lakini karibu nusu ya maneno ni yaleyale tofauti ni matumizi tu.Pia mfano Kenya kuna Kimath na uchagani kuna Kimath pia.Kenya kuna Mariga uchagani kuna Maringa,je na wakenya nao walikua wanaapizana?Sidhani!
 

wengine Mboro, Mboryo, Mboruo. Hapo sasa
 
Mi yangu macho! kujadili ya watu sio fani yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…