Eti wana JF 2namsaidiaje huyu ndugu?

Mwanakili90

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,568
Reaction score
245
Kuna ndugu anatabia za ajabu, anamtindo wa kufanya mapenzi na wanyama, mara ya kwanza alibaka mbuzi,wazazi wakamsema na akawa ametulia,ivi juzi amebaka nguruwe na wazazi wameamua kumwamisha kijiji mana ni aibu,sasa tunaushauri gan mana kaka yake ni rafki yangu mkubwa.nawasilisha.
 
Mhhh!!! duniani kuna mambo!

Nafikiri kumpeleka kijijini hawajamsaidia huyo kijana! Kuna mawili, aidha amepagawa na mapepo, ambayo angeweza kupelekwa kuombewa na akapona.
Pili, labda ana tatizo la akili ambalo angepelekwa hospitalini, labda angeweza kusaidiwa! Kama ni tatizo la akili bado, maombi yanaweza kumsaidia! Pole zao!
 
Mshauri aendelee tu maana ufalme wa Mbingu ameisha ukosa. Mnaweza kumuhasi kwa kutumia burdizzo

 

maonyo ya mara ya1 yalimsaidia,mana ni miaka2 imepita ndo karudia tena
 
Mshauri aendelee tu maana ufalme wa Mbingu ameisha ukosa. Ikishindikana mnaweza kumuhasi kwa kutumia burdizzo


Agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!! Mchungaji Kumhasi? sio apelekwe kwenye maombi!!!!!!?
 
Swala la kumuhasi limekaa pabaya wadau,nadhan ntakimbizwa nikimshaur kaka ake iv
 
Mshauri aendelee tu maana ufalme wa Mbingu ameisha ukosa. Mnaweza kumuhasi kwa kutumia burdizzo


Mhhh....Rev. Masa, kondoo mmoja akipotea anaenda kutafutwa, sio unamwacha aliwe na mbwa mwitu.....

maonyo ya mara ya1 yalimsaidia,mana ni miaka2 imepita ndo karudia tena

Kama kuna pepo, inabidi mpaka aombewe na huyo pepo atoke, otherwize atarudia tena! Poleni.
 

Ana tatizo la kisaikolojia na anatakiwa atibiwe kisaikolojia
 
Akiombewa pepo akatoka tahadhari asije ingia kwa mtu mwingine
 
Agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!! Mchungaji Kumhasi? sio apelekwe kwenye maombi!!!!!!?

Inaonekana huyo bwana maumbile yake ya siri hayathamini dawa yake ni kuyatoa na kumweka kwenye mambi!
 
Mshauri aendelee tu maana ufalme wa Mbingu ameisha ukosa. Mnaweza kumuhasi kwa kutumia burdizzo


Duuu Rev.:A S 13: hiyo adhabu ni kubwa sana... huyo kijana atakuwa pepo anayetakiwa kukemewa!!!!
 
Mhh! Jaman ii hadhabu mbna inakua kali.wazaz wake walitaka mwachia radhi ila watu wakawasih wa mfukuze.
 
maombi tu na atafute ushauri wa kisaikolojia,linatatulika wakiwa wavumilivu....wasimuhamishe kijiji,wampende zaidi na kumweka karibu.....
 
maombi tu na atafute ushauri wa kisaikolojia,linatatulika wakiwa wavumilivu....wasimuhamishe kijiji,wampende zaidi na kumweka karibu.....

unajua wazaz wamechoka mana kumfanya NGURUWE imewafedhehesha.
 
maombi tu na atafute ushauri wa kisaikolojia,linatatulika wakiwa wavumilivu....wasimuhamishe kijiji,wampende zaidi na kumweka karibu.....

huu ndo ushauri makin,hope wataweza nielewa nikiwapa somo hili kwa urefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…