Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Aliyekuwa kaimu kocha mkuu wa Taifa Stars,Mrundi Etienne Ndairagije amepewa mkataba wa mwaka mmoja kuinoa timu ya taifa ya Tanzania,taarifa iliyotoka jioni hii kutoka ndani ya TFF imethibitisha kuwa kocha Ndairagije atakuwa kocha mkuu wa Tanzania.
Ndairagije ambaye mwanzoni mwa week hii aliacha rasmi na Azam Fc kwa makubaliano maalum amepewa jukumu hilo baada ya kuiwezesha Tz kufuzu michuano inayoshirikisha wachezaji wa ndani maarufu kama CHAN nchini Cameroon.
Je atatuvusha au alibahatisha tu?
Kila la heri Ndairagije Etiene
Ndairagije ambaye mwanzoni mwa week hii aliacha rasmi na Azam Fc kwa makubaliano maalum amepewa jukumu hilo baada ya kuiwezesha Tz kufuzu michuano inayoshirikisha wachezaji wa ndani maarufu kama CHAN nchini Cameroon.
Je atatuvusha au alibahatisha tu?
Kila la heri Ndairagije Etiene