Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nadhani watabaki kutoka kwenye vilabu vyao na mgundaMsaidizi wake Matola nae imekuaje?
Ili aende Cameroon, akibahatisha anaendelea, ikiboronga anageuzwa kafara kama Amunike aliyepewa Pierre Konki kama mshauri wa ufundi.Mwaka mmoja? Ili afanye nn kwa huo mda mfupi. Only in bongo.
Mi niliona angalau angepewa miaka 3Mwaka mmoja? Ili afanye nn kwa huo mda mfupi. Only in bongo.