Hata mkataba wa uendeshaji ukiwa wa hovyo hakuna tutakachonufaika nacho.Mikataba ya uendeshaji mbona haina shida, shida inakuja kutaka kumilikisha hiyo miundombinu kwa mgeni mpaka mwisho wa dunia.
Hebu ainisha sababu zinazofanya Watanzania wasiweze kuongoza mashirika kwa ufanisi?Itwkuwa safi sana maana Watanzania hatuwezi, kabisa.
Reli ya kati hohe hahe, reli ya tazara nyang'a nyang'a. Na hii mpya ya SGR wakiiendesha Wstanzania miaks 5 mingi itakuwa choka kabisa.
Au sio?Waje tu
Kama mwendokasi wa barabara umetushinda huo wa Reli ndio hatutauweza kabisa muhimu ni masharti ya win win pande zote"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."
"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."
"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"
"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"
"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."
Mnyetishaji.
Kutuuza.Mama yupo kazini
ccm mbele kwa mbele hahaa bora liende"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."
"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."
"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"
"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"
"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."
Mnyetishaji.
Acha waje tu Wabongo hakuna tunachoweza ni wizi na roho mbaya tu."....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."
"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."
"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"
"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"
"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."
Mnyetishaji.
Kama Waarabu ndio muarobaini wa mashirika yetu yote yanayosuasia basi hata haya yote hayafanyi vizuri wawape Waarabu kila kitu:-"....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."
"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."
"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"
"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"
"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."
Mnyetishaji.
kama mkataba utakuwa mzuri, kwanini wasipewe? tuna shida na terms za mkataba, ila wawekezaji wacha waje. hata hao waarabu wapewe tu sgr, wana pesa sana hao wataendesha vizuri, ila terms za mkataba ziwe nzuri. period."....watu wanapiga kelele tu huku hawaelewi lolote ukweli ni kwamba hata reli yetu hii mpya ukiona imefunguliwa hadi Dodoma amini haitopita miezi hata miwili watapewa Etihad."
"....moja ya masharti ya mkopo fulani kutoka kwao unakipengere hicho."
"....Rais alishawaelekeza wataalamu hataki kusikia mkwamo wowote kwenye majadiliano ya kimkataba sasa unatarajia nini wataalamu wetu walivyo walafi na bucha wamekabidhiwa?!"
"...NA HILO LA BANDARI LILIPELEKWA BUNGENI KWA SABABU ZIPO SHERIA ZINATAKIWA KUBADIRIKA LAKINI NAKUTHIBITISHIA HUTOONA TENA KITU KAMA HICHO!"
"....hii ni sawa na nusu picha bali picha kamili linakuja."
Mnyetishaji.
We ndo zamani uliitwa Mnyeti?Mnyetishaji
Mo wampe mwendokasi?Kwa haya mambo yanavyoenda usije shangaa asubuh unamka unasikia na ikulu imebinafsishwa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii nchi sijui tulikosea wapi ila wasisahau tu kumpa Mo Mwendokasi aindeshe naona kuna undezi mkubwa kwenye ule usafiri.
Ana uwezo mkubwa sana kichwanihivi haya mambo ya ubinafsishaji si yamekwisha kuleta madhara makubwa sana kwa tawala zilizopita.
nakumbuka Mh. Benjamin W Mkapa alishawahi kujutia hili baada ya kufanya ubinafshaji sasa nashangaa bi tozo kwa nini hajifunzi kutoka huko au anatufanyia kusudi kwa sababu anazozijua yeye.
Wajomba zakeNachotaka kujua, Samia yeye ananufaika nini?