S Sharo hiphop JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 660 Reaction score 104 May 24, 2011 #1 Hawa watu wanaotumia jf lv conct kusaka wachumba huwa wanafanikiwa? Na nyie mnaofanya hivyo muwe mnatupa ushuhuda, sio tunakuwa wote kuchangia halafu kitu chako unakula mwenyewe.
Hawa watu wanaotumia jf lv conct kusaka wachumba huwa wanafanikiwa? Na nyie mnaofanya hivyo muwe mnatupa ushuhuda, sio tunakuwa wote kuchangia halafu kitu chako unakula mwenyewe.
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 May 24, 2011 #2 Ungeandika kule sasa....huwezi kuuliza wanasiasa swali linalohusiana na siasa MMU au JF Doctor!
Eiyer JF-Expert Member Joined Apr 17, 2011 Posts 28,259 Reaction score 20,891 May 24, 2011 #3 Lizzy said: Ungeandika kule sasa....huwezi kuuliza wanasiasa swali linalohusiana na siasa MMU au JF Doctor! Click to expand... Usijali ameingia choo cha kike!Atakimbia mwenyewe!
Lizzy said: Ungeandika kule sasa....huwezi kuuliza wanasiasa swali linalohusiana na siasa MMU au JF Doctor! Click to expand... Usijali ameingia choo cha kike!Atakimbia mwenyewe!
afrodenzi Platinum Member Joined Nov 1, 2010 Posts 18,150 Reaction score 9,255 May 24, 2011 #4 kuchangia kweli ni uchaguzi wao hata kama ni JF member lakini bado wanaweza kufanya siri au LA..
Eiyer JF-Expert Member Joined Apr 17, 2011 Posts 28,259 Reaction score 20,891 May 24, 2011 #5 afrodenzi said: kuchangia kweli ni uchaguzi wao hata kama ni JF member lakini bado wanaweza kufanya siri au LA.. Click to expand... Yap!Hii poa!
afrodenzi said: kuchangia kweli ni uchaguzi wao hata kama ni JF member lakini bado wanaweza kufanya siri au LA.. Click to expand... Yap!Hii poa!
Gagurito JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 5,600 Reaction score 806 May 25, 2011 #6 hii thread hapa si mahala pake! Pupuuu nasepa!