Etiiiiiiiiiiiii Uvaaji wa nguo usiku hupunguza kasi ya.............

walai walai,nipo darasani kweli aiseee ni balaa duh
 
bila nguo kabisa!!!, hapana, kuna night dress nzuri ambazo hata mwenzio akikuona anasisimka, sio uchi tuu mpaka hamu inapotea

:nono: sasa siku nzima abdallah kichwa wazi umemkunja kwenye boxer na usiku pia?
 
mnafichana nini bana, lala kama ulitoka kwa udongo utarudi kwa udongo!!!
 
bwana mie napenda kulala uchi uchiiiii....utamu wa zero distance hauwezekani kama umevaa ma Pj ya flanel etc.....
 
Hehhe hehhee nisipavaa nguo na baridi la huku si tutakufa jmn:A S angry:
 
manguo cku nzima mpka ucku? kwann mlale na nguo, chupi yenyewe cvai labda niwe kilimani, hata yeye hana ruhusa.
Nyamayao, ndo maana sioni night dress humu ndani, kumbe wazificha :thinking:
 
Nyama yao upo sahihi, ila isiwe kila cku bwana, au nguo zenu mziweke karibu karibu bwana incase of anything.Kuwa open kitandani ni vema ndo mnaenjoy maana nguo nguo hizo zinasumbua saana aisee
 
Mi wife wangu anitendei haki.analala na jinc iliyombana.
 
usually my GF ananunua Large night dress mm nalala ndani pia ya hiyo night dress, i am serious, naifunua naingia ndani huyooooooooo kuelekea hell, motoni, nikishtuka asubuhi, nasali na kutubu kabla ya kuja tena duniani, mm nazamiaga narudi asubuhi maana naenda mbaliiiiii moto mkali huko usiombe, **** balaaa, aaaaaaaaaahhhhhhhhhh
 

hii kali!!!!!! na mimi ngoja nijaribu nione huko motoni pakoje.
 
Mi wife wangu anitendei haki.analala na jinc iliyombana.
Pole ndugu yangu .........huyo katoka Beijing juzijuzi nadhani ............ maana nasikia
wanasema kuna kubakwa na mwanandoa mwenzio ...........:sad:
 
manguo cku nzima mpka ucku? kwann mlale na nguo, chupi yenyewe cvai labda niwe kilimani, hata yeye hana ruhusa.
shosti, kulala mlango wazi si busara hata kama mtaani kwako hakuna wezi. :nono:
 

Hivi kuna fomula ya kuanza etiieeeeeeeeee. Yaani unaanza na denda halafu mnavua ama? Eti hii fomula jama ikoje? Mi mahesabu ya kutumia fomula siyajui
 
Kama ulivyozaliwa ni vizuri sana kuna wakati mwingine sexy nighties zinalipa lakini baada ya shughuli hakuna kuvaa tena ndio mpaka asubuhi.

na kama kuna beef siku hiyo nalala na pj za cotton trouser na long sleeved shirt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…