Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Haya wale waliokuwa wanasema mpira wakipewa wachezaji wazamani, ndio yale yale. Hamna tofauti yoyoteWakuu Etoo kashaanza Umse7 na Ukagame Kwenye Soka.
.
Hiko Hivi Samuel Eto’o administration has changed FECAFOOT constitution and now extended his tenure from four years to seven years. [emoji1062].
In addition, he can now run for three terms. [emoji599]
.
Duuuh Hatari Hii WakuuView attachment 2344621
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu kijana ni mshamba sana , hata kwenye Afcon aliibeba timu yake bila hata aibu , akaididimiza comoro kishamba sana !Wakuu Etoo kashaanza Umse7 na Ukagame Kwenye Soka.
.
Hiko Hivi Samuel Eto’o administration has changed FECAFOOT constitution and now extended his tenure from four years to seven years. [emoji1062].
In addition, he can now run for three terms. [emoji599]
.
Duuuh Hatari Hii WakuuView attachment 2344621
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu!!mfano George weah, Wananchi wa liberia walivyokuwa na matumaini naye hadi kumpa nchi ki uraini lakini aliyowafanyia , sasa wanashinda mitaani itoke madarakani, Yaani USA, wana wapiga ban mawaziri wake wasikanyage US, kutokana na Rushwa, yeye eti hajui anashangaa!!!Waafrika ni walewale...wote ni ndugu wa baba mmoja.