Uchaguzi 2020 EU declaration on the upcoming elections in Tanzania

Makabaila yanapambana kurejesha walivyopoteza na Lisu anatumika kuwasaidia kufanikisha mambo yao.

Alishasema ataweka mali zote rehani ili tupewe hela na wazungu.

Lisu ni way kuogopa kama ukoma.
Unapokuwa wa hali hii unajivunjia heshima mwenyewe.
Huna tofauti yoyote na hao wenye njaa waliomo humu JF.
 
Makabaila yanapambana kurejesha walivyopoteza na Lisu anatumika kuwasaidia kufanikisha mambo yao.

Alishasema ataweka mali zote rehani ili tupewe hela na wazungu.

Lisu ni way kuogopa kama ukoma.
Nini kilicho kupata stroke you used to be intelligent with sound opinions. Mbona unaanza kuleta pumba?
 
Haitawasaidia kitu, kipigo kwa Wasaliti Nchi Chadema kipo pale pale
 
Binafsi naiamini ofisi ya sekretari pompeo huwa iko straight sio Hawa EU wazunguka zaunguka hata hatua huwa hawachukui
 
Acha uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…