EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Tutasimamia sheria na taratibu tulizojiwekea kwa gharama zote.

Kama MWANACCM SABAYA YUKO JELA MBOWE NI NANI MBELE YA SHERIA?
Huyo si umeshiriki mpango bambikizi, ulinganifu na jambazi yule wa chukua chako mapema, saa mbovu unakujaje hapo
 
Katika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
 
 
Zipine Mahakama Uhuru
Zisinge kuwa zinaingiliwa na wanakijani angalao zingekuwa na uhuru kidogo kwani Bado inategemea maamuzi ya kibinadamu yatokamayo uteuzi wa kisiasa, unaokosa mifumo imara ya check and balance.
 
CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,

Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Ni uchungu gani ulio nao wewe unapowaambia wenzako hawana uchungu wewe umezaliwa baada ya Tanganyika kupata uhuru, hivyo unachokisema hukijui. Ulishawahi kuwa na uchungu na mtu anayekulisha pilipili kwa nguvu wewe.Usiandike tu kufuata mkumbo.
 
Ni uchungu gani ulio nao wewe unapowaambia wenzako hawana uchungu wewe umezaliwa baada ya Tanganyika kupata uhuru, hivyo unachokisema hukijui. Ulishawahi kuwa na uchungu na mtu anayekulisha pilipili kwa nguvu wewe.Usiandike tu kufuata mkumbo.
Naomba abadili jina, haviendani na upupu anaotema humu jukwaani.
 
 
Katika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Katika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
Inawezekana wamechunguza kwa kina wakagundua ni kesi ya kipuuzi na ya kihuni tuu ndiyo maana wakaongea hivyo
 
Inawezekana wamechunguza kwa kina wakagundua ni kesi ya kipuuzi na ya kihuni tuu ndiyo maana wakaongea hivyo
Mbali na hii issue ya Mbowe angalia nchi ya Paulo hapo jirani mbali ya kuminya democrasia hapo kwake na kuingilia hapo Congo ila Mabeberu bado wanaishi nae tu sababu hajagusa interests zao.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…