Elections 2010 Eu report

mbona ripoti haina source?
 
someni hiyo kumbe nao wameona

Hawa jamaa tumeisha wazoea na maneno yao sio mageni ili uchaguzi wao waseme ulikuwa huru na wa haki ni lazima Chama Tawala kiondoke madarakani. Kelele za mlango................
 
The report is all over huitaji source mkuu au ndo mara yako ya kwanza kuiona?
 
The report is all over huitaji source mkuu au ndo mara yako ya kwanza kuiona?

Tunalishwa sana document feki humu JF mzee, watu wameuingilia huu mtandao kwa maslahi yao binafsi.
 
Hawa jamaa tumeisha wazoea na maneno yao sio mageni ili uchaguzi wao waseme ulikuwa huru na wa haki ni lazima Chama Tawala kiondoke madarakani. Kelele za mlango................
Kelele za mlango hazikuzuii kuingiliwa emuynik na maumbile okay
 
Kelele za mlango hazikuzuii kuingiliwa emuynik na maumbile okay

Kelele za mlango hazikuzuii kuingiliwa (KUMBE WEWE WAINGILIWA TWASHUKURU KUTUFAHAMISHA HILO YAKHE NA WAINGILIAJI NDIO SISI, HAYA FUNUA NIINGIE BASI, ILA USIPIGE KELELE NIKIWA NDANI NIMEISHA INGIA) emuynik na maumbile okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…