EU wanasema kweli kinyume kabisa na propaganda mfu za DAVID Mc ALISTER swahiba wake Tundu Lissu na yule Robert Amsterdam......
David Mc Alister mbunge wa chama Cha CDU kilichoshindwa uchaguzi huko UJERUMANI alipangana na wenzake pale BUNDESTAG kuupinga mradi wa UFUAJI UMEME pale MWALIMU NYERERE kwa kigezo dhaifu cha UHARIBIFU WA MAZINGIRA ilihali UNESCO ilijiridhisha pasi na shaka kuwa Tanzania itatumia tu 3% ya eneo lile......
Mjerumani huyo ana makasiriko makubwa dhidi ya Tanzania na serikali ya CCM........
#Siempre JMT
#Kazi Inaendelea Kwa Kasi & Weledi Zaidi 💪