white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Mimi hapo ndio huwa mnanishangaza, wakiwapa sifa mnaona bonge la UJIKO, ila wakiwakosoa tu, mnakuja juu ohooo, hii ni nchi huru hatutaki kuingiliwa na beberu!!au akwapa mkopo/msaada mnashukuru sana, kuwa ni wazuri ila pale wakiwaambia jamani mbona ufisadi umezidi.Mnakuja juu .===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
Wewe unatakaje mkuu?Mimi hapo ndio huwa mnanishangaza, wakiwapa sifa mnaona bonge la UJIKO, ila wakiwakosoa tu, mnakuja juu ohooo, hii ni nchi huru hatutaki kuingiliwa na beberu!!au akwapa mkopo/msaada mnashukuru sana, kuwa ni wazuri ila pale wakiwaambia jamani mbona ufisadi umezidi.Mnakuja juu .
Ujumbe mzito sana huuKwa Statiment ya huyu dada CHADEMA na Lissu EU imegundua janja yenu,
Lissu na wenzeko rudini kwenu
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
Kama kuna Rais wa Ukweli Tanzania tumepata basi ni huyu mama,===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katik
#Tanzania inapepea kweli kweli kiuchumi,Mungu ibariki Tanzania===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
Safi Sana mama===
EU imemmwagia sifa kedekede Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania hasa kwenye Covid-19
EU inasema hali ya hewa kisiasa na Asasi za kiraia ni nzuri na imetengemaa na kila kitu kinakwenda vizuri nchi Tanzania,
EU imeahidi kuendelea kuifuatilia kwa karibu Tanzania na kuendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali,
Sikiliza mpaka mwisho
Hakika CHADEMA imelowa kabisa,Hiki kitakuwa kitu cha ncha kali kwenye mshono
Naona unafufua kila uzi wa kumuabudu Samia. Kweli ajira ngumu.Team JF,
MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.
#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,