Euro Uefa 2016 bila Ronaldo Ingeboa...

Nimesema ni mchango, wakati huo huo nikasema Ronaldo siyo mtu wa kusubiri best loser kuingia Top 16 dhidi ya kina Iceland, Hungary na Austria!
Kwani Ronaldo alikuwa anacheza peke yake au timu nzima ilipaswa kupigana?
Au alipaswa kuwa anadaka golini anadrible kwenda kufunga halafu anarudi kuzuia?
 
Nimesema ni mchango, wakati huo huo nikasema Ronaldo siyo mtu wa kusubiri best loser kuingia Top 16 dhidi ya kina Iceland, Hungary na Austria!
Hizo timu zako bora mbona kombe LA dunia wanalisikilizia ulaya tu ,ulaya hakuna timu ya kuifunga goli NNE ,saba na nakuhakikishia amerca watasahau world cup
 
Kwani Ronaldo alikuwa anacheza peke yake au timu nzima ilipaswa kupigana?
Au alipaswa kuwa anadaka golini anadrible kwenda kufunga halafu anarudi kuzuia?

Kwa nini timu inapofungwa alaumiwa yeye zaidi?

Yeye ni Captain, yeye ni mchezaji bora, hivyo hivyo anatakiwa kuhakikisha anafanya kila liwezekanalo timu inapata mafanikio. Hope unaelewa maana ya kuwa star wa timu.
 
Reactions: PNC
Hizo timu zako bora mbona kombe LA dunia wanalisikilizia ulaya tu ,ulaya hakuna timu ya kuifunga goli NNE ,saba na nakuhakikishia amerca watasahau world cup

...."kombe la dunia wanalisikilizia ulaya" ndio nini?, wewe kama una akili timamu unaweza kuilinganisha Chile na Austria?, Colombia na Iceland?, Argentina na Hungary?, unaposema ulaya hakuna timu ya kuifunga nne ndio sifa?, au wamekutana wote vizibo ndio maana hawafungani nne?!

Currently,Argentina tops the Fifa rankingz!
 
Reactions: PNC
Unavyosema timu mbovu unaangalia jina la nchi o wachezaji o timu inachezaje kwa ujumla.?

...hili sio swali,hebu tafuta swali!, timu mbovu utaangaliaje jina!
 
Hiyo Argentina timu ya miaka 86 wakati wa maradona miaka ya sasa tunazitambua brazil Italy Spain France German .Argentina yako ya miaka ya 86 baki nayo wewe ,wawe kwenye rank wasiwe world cup ijayo kombe lina baki ulaya all time top score wa kombe kubwa duniani anaendelea kuwa wa ulaya .na nachojua wanapokutana world cup final timu ya ulaya isiyojua na Argentina inayojua kombe linabaki ulaya najivunia timu za ulaya.
 
Kwani kwenye makombe ya dunia hizo timu za America huwa hawashirikigi? Je nini kinachotokea kwa hizo timu zako ulizozitaja kama Argentina, Chile, n.k? Au umeanza kushabikia mpira mwaka huu kwenye kombe la copa America? Timu za ulaya zipo vizuri mkuu.
 
ronaldo kwa messi atasubiria sana..argentina ipo fainal na messi anamabao matano mkononi...ila huyo bishoo anayo mawili tena kwa kuwapiga vibonde
messi anacheza na timu mbovu...copa America ni mbovu kupita CHAN
 
nitajie timu ya America iliyochukua kombe la dunia miaka ya hivi karibuni ukitoa brazil
 
Walishinda?

Mchezaji kama Ronaldo kuingia top 16 as best loser ni aibu!

Kwenye makundi unashindwa hata kushinda mechi moja? Utaweza mitoano? Kwa sababu kwenye mitoano ushindi ni lazima.
Akili mbofu sana hizi, kwa nini hujiulizi messi hajashinda kombe la dunia??
 
Euro championship ni Kama world cup! Timu za america ya kusini siku hizi ni wateja kwa timu za ulaya.
 
Yaani ulaya wazidiwe kisoccer na amerika????

Utakuwa una utani wewe.

Tangu Brazil apotee kwenye ushindani kidunia, hakuna timu nyingine kutoka nje ya bara la ulaya ametwaa kombe la dunia.

Leo eti unasema ulaya kitu gani!
 
Yaani ulaya wazidiwe kisoccer na amerika????

Utakuwa una utani wewe.

Tangu Brazil apotee kwenye ushindani kidunia, hakuna timu nyingine kutoka nje ya bara la ulaya ametwaa kombe la dunia.

Leo eti unasema ulaya kitu gani!

....uwe unasoma uelewe,hizo timu nilizoziweka hapo juu umeziona? ambazo ndizo ziko kwenye Euro!, halafu mnasema mpk mshindi wa tatu kwenye kundi ana qualify kwa nxt round?!... timu ina point tatu ime draw mechi zote! very poor indeed!, mechi hazivutii kbs unaenda na matokeo kichwani thn yanakuwa kweli!
 
Euro championship ni Kama world cup! Timu za america ya kusini siku hizi ni wateja kwa timu za ulaya.

....mjomba nazungumzia ushindani kati ya timu na timu ambao ndio unanogesha mashindano. Mf: France atacheza na Northern ireland, Belgium vs Hungary, Germany vs (jaza mwenyewe) kwenye last 16!, hapa kweli kuna sababu ya ku-bet?!
 
nitajie timu ya America iliyochukua kombe la dunia miaka ya hivi karibuni ukitoa brazil

...hakuna timu iliyochukua kombe la dunia ila ushindani upo zaidi ya EURO 2016!
 
...hakuna timu iliyochukua kombe la dunia ila ushindani upo zaidi ya EURO 2016!
ok...kumbe unamaanisha upinzani wa timu mbovu sio? upinzani upo kwa sababu timu zote ni mbovu hazijazidiana viwango...ni sawa na ndanda icheze na jkt ruvu ushindani utakuwepo tu kwa sababu viwango vyao vinalingana
 
....mjomba nazungumzia ushindani kati ya timu na timu ambao ndio unanogesha mashindano. Mf: France atacheza na Northern ireland, Belgium vs Hungary, Germany vs (jaza mwenyewe) kwenye last 16!, hapa kweli kuna sababu ya ku-bet?!
vipi france ikicheza na Germany/...Italy na spain
 
w
we ni muongo...copa America toka mashindano hayajaanza bingwa anajulikana ni argentina hajafungwa wala kudroo hata mechi moja... kwenye euro hakuna timu iliyoshinda mechi zote na mpaka sasa hivi ni ngumu kutabiri bingwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…